Skip to main content
Skip to main content

Ikulu yatumia Sh6.73 bilioni kwa matumizi ya siri

  • | Citizen TV
    5,285 views
    Duration: 2:28
    Shilingi bilioni 6.73 zilitumika na Ikulu kama matumizi ya siri katika mwaka wa fedha wa 2025/2026, na hakuna maelezo kamili yaliyotolewa kuhusu pesa hizo zilitumika kwa shughuli gani. Ripoti hiyo pia inaonyesha kuwa hazina ya kitaifa ilitumia shilingi bilioni 12.6 katika operesheni za usalama, kiasi ambacho ni zaidi ya fedha zilizotumiwa na idara ya Polisi ambayo ilitumia shillingi billioni 11.39