Skip to main content
Skip to main content

Inua Jamii: Salio la mwezi mmoja kulipwa katikati ya Septemba

  • | Citizen TV
    831 views
    Duration: 1:13
    Katibu Mkuu wa Wizara ya Kazi na Ulinzi wa Jamii, Motari, amesema salio la mwezi mmoja la mpango wa Inua Jamii litatolewa katikati ya mwezi huu. Motari amesema kufungwa kwa mwaka wa kifedha ndiko kulikochelewesha malipo hayo.