31 Aug 2026 10:33 am | Citizen TV 2,896 views Duration: 2:06 Jamii ya Abkey Warfay, kutoka jamii ya Murule Weytan katika Kaunti ya Mandera, imemtawaza rasmi Mbunge wa Lafey, Mohamed Abdikheir, kuwa chaguo lao kwa mara ya pili katika uchaguzi mkuu wa 2027.