Skip to main content
Skip to main content

Jamii ya Aulihan yapinga mfumo wa demokrasia ya maelewano

  • | Citizen TV
    1,102 views
    Duration: 1:24
    Viongozi kutoka jamii ya Aulihan wamepuuza mfumo wa demokrasia ya maelewano unaotumiwa katika baadhi ya maeneo, wakisema dhana hiyo inawanyima wananchi haki ya kufanya maamuzi yao wenyewe.