7 Sep 2026 12:08 pm | Citizen TV 478 views Duration: 2:13 Jamii ya Iteso imewataka wanasiasa kuhubiri amani, umoja na mshikamano miongoni mwa wananchi. Wito huo umetolewa wakati wa sherehe ya kitamaduni iliyofanyika Emormor, Kaunti ya Busia.