7 Sep 2026 1:41 pm | Citizen TV 1,095 views Duration: 1:22 Jamii ya Ogaden imeahidi kudumisha amani na utulivu tunapoelekea katika uchaguzi. Wanajamii wamewahimiza wananchi kushirikiana, kuheshimiana na kuepuka vitendo vinavyoweza kuvuruga amani wakati wa kipindi cha uchaguzi.