Skip to main content
Skip to main content

Je, mkutano kati ya Trump na Zelensky utaleta amani Ukraine?

  • | BBC Swahili
    2,928 views
    Duration: 9:12
    Kiongozi wa Ukraine Volodmyr Zelensky muda mfupi uliopita amekutana na Rais Donald Trump katika Ikulu ya Whitehouse kuzungumzia amani nchini Ukraine. Trump amemkaribisha Zelensky katika mkutano huo, kwa kumhakikishia kwamba ataipatia Ukraine usalama. #DiraYaDuniaTV