Skip to main content
Skip to main content

Je unajua Afrika ni kubwa kuliko Marekani, China, India na Ulaya kwa pamoja

  • | BBC Swahili
    14,762 views
    Duration: 3:34
    Je, unajua kuwa Afrika ni kubwa zaidi kuliko inavyoonekana kwenye ramani nyingi? Ukweli ni kwamba bara hili linaweza kabisa kubeba Marekani, China, India, Japani na sehemu kubwa ya Ulaya ndani yake. Je Afrika ina ukubwa kiasi gani? Sammy Awami anaelezea #bbcswahili #afrika #ramani Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw