- 37,060 viewsDuration: 1:54Ni Christina Koch Jumatano, Aprili 1, 2026, aliweka historia hiyo ya mwanamke wa kwanza kusafiri hadi karibu na mwezi akiwa kwenye kikosi cha Artemis II. Alisafiri na wanasayansi wengine watatu ambao pia kwa pamoja wameandika historia ya kusafiri mbali zaidi na dunia kuliko binadamu yeyote katika historia Mwandishi wa BBC @sarafinarobi na taarifa zaidi: - - #bbcswahili #wanaanga #Artemis #wanasayansi #wanawake Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw