Skip to main content
Skip to main content

Jengo lililoporomoka south C: Familia za waliokwama vifusini zataka kazi iharakishwe

  • | Citizen TV
    1,894 views
    Duration: 3:11
    Familia za wanaume wawili wanaodaiwa kukwama kwenye vifusi vya jengo lililoporomoka katika mtaa wa South C, Nairobi, zinataka operesheni ya uokoaji kuimarishwa. Familia hizo zilizoshinda eneo hilo tangu mkasa huu ulipotokea mapema hapo jana pia zikitaka uchunguzi wa kina kufanywa kuhusu kuporomoka kwa jengo huli wakisema waliohusika na hatia za ujenzi duni wachukuliwe hatua