Skip to main content
Skip to main content

Kafara ya amani: Familia ya Kasisi Allois Bett yadai haki zaidi ya mwaka baada ya kuuawa

  • | Citizen TV
    2,466 views
    Duration: 5:24
    Zaidi ya mwaka mmoja tangu kuuawa kwa Kasisi Allois Bett na majangili katika Bonde la Kerio, familia yake bado inalia haki. Wakati huo huo, majangili 16 wanaodaiwa kuacha shughuli za uhalifu wanasema wameachana na uvamizi, huku amani ikiripotiwa kurejea katika baadhi ya maeneo ya Bonde la Kerio.