- 3,903 viewsDuration: 3:00Viongozi wa upinzani wamemshutumu Rais William Ruto kwa misimamo yake mikali dhidi ya kampuni ya madini ya Tata huko Magadi, pamoja na agizo la kuwazuia wafanyabiashara wadogo wa kigeni kuendelea kufanya biashara nchini. Akiongoza kikao cha Azimio la Umoja One Kenya, kinara wake Kalonzo Musyoka amesema Rais Ruto amekuwa akicheza karata mbaya na maisha ya Wakenya.