Skip to main content
Skip to main content

Kalonzo atetewa Kitui huku wanasiasa wakikosoa matamshi ya Rais Ruto

  • | Citizen TV
    2,727 views
    Duration: 1:44
    Baadhi ya viongozi kutoka kaunti ya kitui wametoa wamemtetea kinara wa wiper kalonzo musyoka kufuatia matamshi ya punde zaidi ya rais william ruto kuwa hakufanya maendeleo yoyote maeneo ya ukambani. Wanasiasa hawa pia wakimpigia debe kalonzo kwa kiti cha urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027 wakisema ajeenda kuu ya upinzani ni kumtimua rais ruto.