Kamati ya bunge la kitaifa kuhusu uhasibu wa umma, inataka kuwe na ukaguzi maalum wa matumizi ya fedha katika idara ya mafunzo ya kiufundi . Wabunge hao wamesema kuwa fedha zilizonuiwa kuwafaidi wanafunzi kupitia misaada ya masomo, zilielekezwa kwa watu ambao hawakutajwa , taasisi, pamoja na vyuo vya kibinafsi. Mwanahabari wetu, Abdiaziz Hashim, na maelezo zaidi.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive