25 Aug 2026 10:13 am | Citizen TV 2,774 views Duration: 1:13 Tume ya maadili na kupambana na ufisadi yamkamata karani wa mahakama ya Busia kwa madai ya kuitisha na kupokea hongo ya Shilingi 180,000 za ili kushawishi matokeo ya kesi ya jinai iliyokuwa mbele ya mahakama.