- 1,699 viewsDuration: 2:34Wanasiasa wa Kenya Kwanza wameelezea hofu yao kufuatia ongezeko la matapeli wa uagizaji wa sukari kutoka nje, wakisema hatua hiyo inakandamiza uwezo wa viwanda vya humu nchini kuzalisha sukari ya kutosha. Viongozi hao, wakizungumza katika kaunti ya Vihiga wakati wa shughuli ya kusaidia makundi ya kina mama, wanataka serikali kupiga marufuku uagizaji wa sukari kutoka nje. Mwanahabari wetu Bonface Barasa anaaarifu zaidi.