Skip to main content
Skip to main content

Kenya yaendeleza ubabe katika mbio za masafa marefu Daegu

  • | Citizen TV
    849 views
    Duration: 55s
    Kenya imeendeleza ubabe wake katika mashindano ya mbio za masafa marefu kwenye Mashindano ya 26 ya Dunia kwa Wanariadha Wakongwe yanayoendelea mjini Daegu, Korea Kusini.