Skip to main content
Skip to main content

Kinara wa DCP Rigathi Gachagua akosoa uongozi wa rais Ruto na kuahidi kumuondoa mamlakani

  • | Citizen TV
    3,473 views
    Duration: 2:24
    Kinara wa DCP Rigathi Gachagua ameendelea kuukosoa uongozi wa rais william ruto akisema umejaa ufisadi, na kuahidi kumuondoa mamlakani katika uchaguzi mkuu ujao. akizungumza katika makao makuu ya chama hicho hapa jijini nairobi Gachagua amemkaribisha mbunge wa kamkunji Yusuf Hassan aliyejiunga na chama hicho kutoka Jubilee.