2 Sep 2026 7:46 pm | Citizen TV 1,034 views Duration: 1:13 Naibu Rais Profesa Kithure Kindiki anawataka Wakenya kushirikiana na maafisa wa usalama na wale wa kukabiliana na majanga ili kujihadhari na mvua ya El Niño iliyotabiriwa kuanza katika sehemu kadhaa nchini.