11 Sep 2026 10:23 am | Citizen TV 324 views Duration: 2:44 Kituo cha kidijitali kimefunguliwa Maralal, Samburu, kwa lengo la kuwapa vijana ujuzi wa kutumia teknolojia na mtandao. Vijana wanatarajiwa kutumia ujuzi huo kubuni fursa za ajira.