2 Sep 2026 1:21 pm | Citizen TV 959 views Duration: 1:23 Serikali imetangaza uzinduzi rasmi wa vituo vya viwanda vinane kufikia mwisho wa mwaka huu ili kusisimua ukuaji wa uchumi mashinani na ongezeko la mapato kwa wakulima na wafugaji kupitia kuongeza thamani za bidhaa.