- 975 viewsDuration: 1:21Tume ya kitaifa ya kutetea haki za kibinadamu (KNCHR) imeonya dhidi ya kufurushwa au kuchukulia hatua zinazokiuka sheria wakimbizi na wahamiaji bila ya kuwapa nafasi ya kusikilizwa na kukata rufaa kupinga amri iliyotolewa na rais william ruto kuhusu wafanyibiashara wa kigeni.