- 14,641 viewsDuration: 1:51Uhusiano kati ya Iran na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) umeendelea kuwa na mvutano mkubwa, huku kukiwa na ripoti za mashambulizi ya makombora na droni yanayotajwa kutekelezwa na Iran kulenga miundombinu ya nishati ya UAE. @mariammjahid anaelezea #bbcswahili #Iran #marekani Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw