- 7,926 viewsDuration: 2:10Wanasiasa wa kundi la Linda Mwananchi wameendelea kumkosoa kinara wa ODM Oburu Oginga wakisema alichukua mamlaka kinyume na katiba ya chama hicho. Wanasiasa hapo waliokuwa kaunti ya Kisumu pia wamemlaumu Rais William Ruto kwa kukosa kutimiza ajenda kumi ya makubaliano waliyoafikia na marehemu Raila Odinga.