Skip to main content
Skip to main content

Maandalizi ya El Niño yaanza Garissa

  • | Citizen TV
    1,286 views
    Duration: 1:08
    Gavana wa Garissa Nathif Jama amezindua ujenzi wa daraja la Bula Iftin huku kaunti hiyo ikiimarisha maandalizi ya kukabiliana na athari za El Niño. Wakazi walioejenga katika mikondo ya maji wameonywa kuhama mapema ili kuepusha maafa yanayoweza kusababishwa na mafuriko.