- 1,577 viewsDuration: 2:18Mahakama ya Milimani inatoa uamuzi kuhusu mamlaka ya kusikiliza ombi tofauti lililowasilishwa na upande wa mashtaka kutaka kumzuilia mshukiwa Angela Mulwa kwa siku 14 kuhusiana na kifo cha Dkt. Victoria Mutiso. daktari Victoria Mutiso, ambatye taryari amezikwa, aliuawa kwa kupigwa risasi akielekea kazini hapa jijini Nairobi.