Skip to main content
Skip to main content

Makundi ya jamii wa Kaya walalamikia kutoshirikishwa kwenye mchakato wa ufadhili wa mazingira Kwale

  • | Citizen TV
    441 views
    Duration: 2:34
    Makundi ya jamii na wazee wa Kaya walalamikia kutoshirikishwa kwenye mchakato wa ufadhili wa mazingira na kusema kuna mipango ya kuunganisha uhifadhi wa msitu kati ya Kenya na Tanzania