Skip to main content
Skip to main content

Malkia Strikers kupigania ubingwa dhidi ya Misri katika fainali ya voliboli

  • | Citizen TV
    1,147 views
    Duration: 1:05
    Malkia Strikers ya Kenya itachuana na Misri katika fainali ya voliboli, huku timu hizo zikisaka tiketi ya kushiriki Michezo ya Olimpiki ya 2028. Mechi hiyo inatarajiwa kuchezwa saa kumi na mbili jioni