- 137 viewsDuration: 1:04Mamlaka ya Kitaifa ya Kupambana na Matumizi ya Dawa za Kulevya na Pombe Haramu (NACADA) imetoa wito kwa wadau mbalimbali kushirikiana katika vita dhidi ya pombe haramu na matumizi ya mihadarati nchini. Akizungumza mjini Kapsabet, mkurugenzi wa NACADA Benjamin Kuto alielezea wasiwasi wake kuhusu ongezeko la matumizi ya dawa za kulevya miongoni mwa vijana katika kaunti ya Nandi.