- 642 viewsDuration: 1:15Kinara wa PLP Martha Karua ameikosoa serikali kwa kile alichodai kuwa ni kupuuza usalama wa Wakenya na kukiuka haki za binadamu. Karua ameitaka serikali kuchukua hatua kuhakikisha usalama wa wananchi unalindwa na haki zao zinaheshimiwa