Kituo cha redio cha shirika la KBC, Pwani FM kiliendelea kuadhimisha wiki ya redio kwa mbwembwe huku kikiwaalika wageni kuzuru makao yake katika jumba la Sauti mjini Mombasa. Kupitia fursa za kutangamana, kujifunza na kusherehekea na watangazaji, shirika la KBC linajenga mahusiano na kizazi kijacho cha watangazaji wa redio.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive