Skip to main content
Skip to main content

Mbunge John Kaguchia ajibu madai ya uchochezi mbele ya NCIC

  • | Citizen TV
    607 views
    Duration: 2:28
    Mbunge wa Mukurwe-ini John Kaguchia amefika mbele ya Tume ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano wa Kitaifa, NCIC, kujibu madai ya uchochezi. Mbunge huyo ameiambia tume hiyo kuwa matamshi yake yalinukuliwa vibaya huku NCIC ikiwaonya wanasiasa wote nchini kuwa sheria itawakabili wote wenye tabia za kuwachochea Wakenya. Stephen Letoo anaaarifu.