Skip to main content
Skip to main content

Mfanyabiashara ashinda zaidi ya Sh1.1 milioni kwenye Jet-X

  • | Citizen TV
    447 views
    Duration: 58s
    Godfrey Simiyu, mfanyabiashara wa mboga na nafaka kutoka kitengela kaunti ya Kajiado anasherehekea ushindi wa shilingi milioni1,118,617 baada ya kucheza mchezo wa Jet-X kwenye Shabiki.com. Jamaa huyo anasema anapanga kutumia sehemu ya fedha hizo kuwalipia wanawe karo na kujenga nyumba, ili kutimiza ndoto yake ya tangu utotoni. Anasema alianza kucheza kwa shilingi 150 pekee, kabla ya kukuza ushindi wake hadi kufikia zaidi ya shilingi milioni moja.