9 Sep 2026 10:58 am | Citizen TV 701 views Duration: 3:01 Mgomo wa wauguzi umeingia siku ya 42 huku serikali ikihimizwa kuingilia kati kutatua mvutano huo. Atwoli ameitaka serikali kuhakikisha huduma za afya zinarejeshwa katika hospitali za umma.