Skip to main content
Skip to main content

Mirengo miwili ya waumini katika kanisa la SDA Nyahururu yapigania uongozi

  • | KBC Video
    352 views
    Duration: 2:20
    Ghasia zilizuka katika kanisa la SDA mjini Nyahururu kufuatia mzozo wa uongozi baina ya mirengo miwili ya waumini. Kulingana na Andrew Sang, ambaye ni kiongozi katika kanisa hilo, ghasia hizo zilitokana na tofauti zilizoibuka baada ya uhamisho wa mhubiri wa zamani aliyehamishwa hadi eneo jingine na bodi ya kanisa hilo. Mhubiri huyo na wafuasi wake wanadaiwa kupinga uamuzi huo wakisema haukufaa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive