Skip to main content
Skip to main content

Mlinzi aliyefariki kwenye vifusi vya jumba lililoporomoka South C azikwa

  • | Citizen TV
    3,939 views
    Duration: 2:05
    Mlinzi aliyepatikana amefariki kwenye vifusi vya jumba lililoporomoka mtaani South C hapa nairobi amezikwa katika makaburi ya Lang'ata. Kulingana na uchunguzi wa maiti, marehemu Ali Adan Galgallo, alifariki kutokana na majeraha aliyoyapata baada ya kuangukiwa na nyumba hilo la ghorofa 16. Haya yamejiri huku shughuli ya kumtafuta mlinzi mwengine ikiendelea kwa siku ya tano