Skip to main content
Skip to main content

Moto wateketeza magari ya kifahari Kilimani

  • | Citizen TV
    30,464 views
    Duration: 2:51
    Wamiliki wa zaidi ya magari 50 ya kifahari katika eneo la Kilimani, Nairobi, wanakadiria hasara ya mamilioni ya pesa baada ya moto kuteketeza karakana tatu zilizokuwa zimeegeshwa magari hayo. Kulingana na walioshuhudia tukio hilo, moto ulianza katika karakana moja saa tano jana usiku kabla ya kusambaa kwa kasi na kuteketeza karakana nyingine mbili.