9 Sep 2026 1:55 pm | Citizen TV 5,992 views Duration: 2:07 Mradi wa Bwawa la Mwache umechochea mipango ya kujenga mabwawa madogo 16 katika eneo hilo, huku takriban wakazi 35,000 wanatarajiwa kunufaika na usambazaji wa maji Kasezeni na Mwavumbo.