Skip to main content
Skip to main content

Mshukiwa wa sita katika kesi ya Brian Odhiambo ajitetea mahakamani

  • | Citizen TV
    1,392 views
    Duration: 2:22
    Mshukiwa wa sita kwenye kesi ya kutoweka kwa mvuvi Brian Odhiambo mwezi Januari mwaka jana, Francis Wachira, alikuwa na kibarua kigumu kueleza matukio yaliyojiri kabla ya kutoweka kwake. Sajenti Wachira, ambaye alikuwa msimamizi wa maafisa wa KWS, alijitetea mahakamani kuhusu matukio hayo.