- 15,605 viewsDuration: 59sKundi la mawakili limewasilisha hoja katika Bunge la Kitaifa likitaka kupitishwa kwa mswada wa kuwaondoa madarakani wabunge wazembe. Mawakili hao wanasema mswada huo ulipitishwa na Seneti, lakini bado haujajadiliwa na umma.