Skip to main content
Skip to main content

Mtetezi wa haki za watoto aanza matembezi ya kilomita 250 kuchangisha fedha Tana River

  • | Citizen TV
    570 views
    Duration: 1:19
    Mtetezi mmoja wa haki za watoto kutoka kaunti ya Tana River ameanza matembezi ya kilomita 250 kuanzia mjini Hola hadi Malindi kaunti ya Kilifi ili kuchangisha pesa za kujenga nyumba salama za watoto waathiriwa wa dhuluma tofauti katika kaunti hiyo.