22 Aug 2026 12:12 pm | K24 Video 1,538 views Duration: 1:07 “Huyu Orengo, Babu Owino na hiyo team walikuwa wanaenda Homa Bay, si walikuwa wamekusanya a hundred goons kutoka Nairobi? DCI wakawashika kabla hawajafika Homa Bay.” — CS Kipchumba Murkomen.