Skip to main content
Skip to main content

Mvulana wa miaka 14 atoweka Kerugoya kutokana na mzozo wa masuala ya shule

  • | Citizen TV
    1,022 views
    Duration: 2:39
    Kijana wa miaka 14 ametoweka nyumbani kwao eneo la kerugoya baada ya familia yake kulalamikia uwezo wa kumpeleka sekondari ya juu aliyotakiwa kujiunga nayo. Benjamin alitoweka wiki moja iliyopita. Hadi sasa, familia inaendelea kumtafuta kijana huyu.