26 Aug 2026 10:12 am | Citizen TV 6,134 views Duration: 2:19 Utata waibuka katika kesi inayomkabili mwanaume ashukiwayae kumdhulumu kimapenzi mtoto wake wa miaka 13 huko Kisauni kaunti ya Mombasa baada ya mwathiriwa kudaiwa kuandikisha taarifa kinzani.