Skip to main content
Skip to main content

NACADA yakamata lita 12,000 za kangara Marsabit

  • | Citizen TV
    909 views
    Duration: 1:56
    Serikali ya kaunti ya Marsabit pamoja na NACADA zimeimarisha operesheni dhidi ya pombe haramu, baada ya kuzinduliwa kwa mpango wa NACADA wa Siku 100 za kupambana na vileo haramu katika kaunti hiyo.