Skip to main content
Skip to main content

Naibu Gavana wa Machakos apinga kufungwa kwa kampuni ya Tata

  • | Citizen TV
    1,483 views
    Duration: 1:06
    Naibu Gavana wa Machakos, Mwangangi, amesema haifai kampuni ya Tata kufungwa nchini. Ameonya kuwa hatua hiyo huenda ikaathiri uhusiano wa Kenya na India, akisisitiza umuhimu wa kulinda uhusiano kati ya mataifa hayo.