Skip to main content
Skip to main content

NCCK yakashifu uhasama dhidi ya wageni nchini

  • | Citizen TV
    563 views
    Duration: 1:36
    Baraza la Kitaifa la Makanisa Kenya (NCCK) limekashifu uhasama dhidi ya wageni nchini. NCCK imesema ni kosa kubwa kuvamia biashara zinazomilikiwa na raia wa kigeni.