Skip to main content
Skip to main content

NCIC yaweka mkazo kwa uchaguzi wa amani

  • | Citizen TV
    430 views
    Duration: 1:20
    Idara ya polisi imewahakikishi wakenya kuwa itakuwa macho kuzima ghasia zozote za kisiasa, na kuahidi kuwa uchaguzi mkuu ujao utakuwa wa amanai. Wakizungumza kwenye kikao na wadau mbalimbali wakiwemo maafisa wa ncic hapa jijini nairobi, wamejadili mikakati iliyowekwa kuzima makundi ya wahuni nchini.