Skip to main content
Skip to main content

NCIC yazindua mpango wa kuhakikisha uchaguzi ujao unakuwa wa amani

  • | Citizen TV
    199 views
    Duration: 2:59
    Tume ya Uwiano na utangamano nchini ncic imezindua mpango wa kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu uajo utakuwa wa amani. katika hafla hiyo, mkuu wa mawaziri musalia mudavadi na waziri wa usalama kipchumba murkomen wametoa hakikisho kiwa serikali itatoa ufadhili wa kutosha kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu ujao hautakuwa na dosari.