Skip to main content
Skip to main content

Ndindi Nyoro ataka upinzani kuungana dhidi ya Ruto

  • | Citizen TV
    1,724 views
    Duration: 1:10
    Kinara wa chama cha people's party na mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro amesema ni sharti viongozi wa upinzani waweke kando maslahi yao ya kibinafsi na kuungana ili kufanikisha kumng'atua mamlakani Rais Wiliam Ruto kwenye uchaguzi mkuu ujao.